Wikipedia Nenda kwa yaliyomo Menyu kuu Menyu kuu hamishia kwenye mwambaa upande ficha Urambazaji Mwanzo Jumuiya Mabadiliko ya karibuni Ukurasa wa bahati Msaada Kurasa maalumu Tafuta Tafuta Mandhari Michango Unda akaunti Ingia Zana binafsi Michango Unda akaunti Ingia Mwanzo Ukuras…
Wikipedia Nenda kwa yaliyomo Menyu kuu Menyu kuu hamishia kwenye mwambaa upande ficha Urambazaji Mwanzo Jumuiya Mabadiliko ya karibuni Ukurasa wa bahati Msaada Kurasa maalumu Tafuta Tafuta Mandhari Michango Unda akaunti Ingia Zana binafsi Michango Unda akaunti Ingia Mwanzo Ukurasa mkuu Majadiliano Kiswahili Soma Angalia chanzo Fungua historia Zana Zana hamishia kwenye mwambaa upande ficha Vitendo Soma Angalia chanzo Fungua historia Kijumla Viungo viungavyo ukurasa huu Mabadiliko husika Pakia faili Kiungo cha daima Maelezo ya ukurasa Taja ukurasa huu Pata URL iliyofupishwa Switch to legacy parser Chapa/peleka nje Tunga kitabu Pakua kama PDF Ukurasa wa kuchapika Miradi mingine Abstract Wikipedia Wikimedia Commons Wikimedia Foundation MediaWiki Meta-Wiki Wikimedia Outreach Multilingual Wikisource Wikispecies Wikidata Wikifunctions Wikimania Wiktionary Wikidata kifungu Mandhari hamishia kwenye mwambaa upande ficha Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru Karibu kwenye Wikipedia, kamusi elezo huru, kila mtu anaweza kuihariri! Hadi leo tuna makala takriban 123,669 kwa Kiswahili Je unapenda kuona Wikipedia yetu kama kitabu? Bofya hapa! Biografia Dini Hisabati Historia Jiografia Jamii Jumuiya Lugha Sanaa Sayansi Teknolojia Tiba Ujenzi <td colspan=\"3\" style=\"text-align:center; font-size:100%; background-color:#F2E6CE; padding:0.2em; border:1px solid #BFB1A3; color:#000; font-weight:bold;\">{{Main Page banner}}</td></tr>\n"}},"i":0}},"\n| class=\"MainPageBG\" style=\"width:55%; border:1px solid #cef2e0; background:#f5fffa; vertical-align:top; color:#000;\" |\n{| id=\"mp-left\" cellpadding=\"2\" cellspacing=\"5\" style=\"width:100%; vertical-align:top; background:#f5fffa;\"\n! <h2 id=\"mp-tfa-h2\" style=\"margin:0; background:#cef2e0; font-size:120%; font-weight:bold; border:1px solid #a3bfb1; text-align:left; color:#000; padding:0.2em 0.4em;\">Kamusi Elezo ya Kiswahili</h2>\n|-\n| style=\"color:#000;\" | <div id=\"mp-tfa\">",{"template":{"target":{"wt":"Kamusi Elezo ya Kiswahili","href":"./Kigezo:Kamusi_Elezo_ya_Kiswahili"},"params":{},"i":1}},"</div>\n|-\n! <h2 id=\"mp-dyk-h2\" style=\"margin:0; background:#cef2e0; font-size:120%; font-weight:bold; border:1px solid #a3bfb1; text-align:left; color:#000; padding:0.2em 0.4em;\">Je, wajua...</h2>\n|-\n| style=\"color:#000;\" | <div id=\"mp-dyk\">",{"template":{"target":{"wt":"Je wajua","href":"./Kigezo:Je_wajua"},"params":{},"i":2}},"</div>\n|}\n| style=\"border:1px solid transparent;\" |\n<!-- KUHUSU WIKIPEDIA; KATIKA SIKU HIZI -->\n| class=\"MainPageBG\" style=\"width:45%; border:1px solid #cedff2; background:#f5faff; vertical-align:top;\"|\n{| id=\"mp-right\" cellpadding=\"2\" cellspacing=\"5\" style=\"width:100%; vertical-align:top; background:#f5faff;\"\n! <h2 id=\"mp-itn-h2\" style=\"margin:0; background:#cedff2; font-size:120%; font-weight:bold; border:1px solid #a3b0bf; text-align:left; color:#000; padding:0.2em 0.4em;\">Makala ya wiki</h2>\n|-\n| style=\"color:#000;\" | <div id=\"mp-itn\">",{"template":{"target":{"wt":"Wikipedia:Makala ya wiki","href":"./Wikipedia:Makala_ya_wiki"},"params":{},"i":3}},"</div>\n|-\n!<!--<h2 id=\"mp-otd-h2\" style=\"margin:0; background:#cedff2; font-size:120%; font-weight:bold; border:1px solid #a3b0bf; text-align:left; color:#000; padding:0.2em 0.4em;\">Katika siku hizi...</h2>\n|-\n| style=\"color:#000;\" | <div id=\"mp-otd\">{{Wikipedia:Maadhimisho yaliyochaguliwa}}</div>-->\n|}\n|}"]}'> Kamusi Elezo ya Kiswahili Karibu kwenye Wikipedia ya Kiswahili! Wikipedia ni mradi wa kuandika kamusi elezo kamili na sahihi ya maandishi huru. Kila mtu anaweza kuhariri makala yoyote, kutoa makosa ya lugha, kutohoa maneno na kuendeleza na kukuza makala, kwa kuandika kwa ufupi au kwa urefu. Tunakushauri ujiandikishe na kufungua akaunti. Angalia Wikipedia:Mwongozo ili ujifunze unavyoweza kuhariri au kusanifisha ukurasa. Usisite kushiriki; kwa sababu huu ni mradi wa ushirikiano, na hautaisha kamwe. Kamusi elezo itaimarika vizuri zaidi kila wakati. Angalia ukurasa wa jumuia, ukurasa wa jamii, na ule wa makala za msingi za kamusi elezo ili kung'amua unaweza kufanya kazi zipi ili kuboresha Wikipedia. Je, wajua... Kutoka kwenye mkusanyiko wa makala za Wikipedia: ... kwamba Hifadhi ya Ngorongoro imepokewa katika orodha ya urithi wa dunia ya UNESCO? ... kwamba Asha-Rose Mtengeti Migiro ni mwanasiasa wa kwanza kutoka nchini Tanzania aliyepata kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa? ... kwamba eneo la Afrika ya Mashariki ndilo ambalo lina uchumi unaokua kwa kasi zaidi katika bara la Afrika! ... kwamba Samia Hassan Suluhu ni rais wa kwanza mwanamke Afrika ya Mashariki? Aliapishwa kuwa rais mara baada ya kifo cha mtangulizi wake, John Pombe Magufuli. Hifadhi – Jifunze kuanzisha makala – Teua makala Makala ya wiki Vimondo (pia: meteori au meteoridi) ni magimba madogo ya angani yanayozunguka jua. Yanaweza kuangukia duniani yakionekana kama moto angani. Ukubwa wa kimondo ni kuanzia punje ya mchanga hadi kufikia kipenyo cha mita kadhaa. Hivyo kimondo ni kidogo kuliko asteoridi na kikubwa kushinda vumbi la angani. Obiti ya kimondo inaweza kuingiliana na obiti ya dunia au sayari nyingine. Kimondo kikilikaribia gimba la angani kubwa zaidi kinavutwa nalo. Kikikaribia mno dunia yetu kinaingia katika angahewa na kuanguka chini kwa kasi kubwa sana. Njiani kinapashwa moto kutokana na shindikizo la hewa dhidi yake. Kiasi cha joto kinatosha kuchoma kabisa kimondo kidogo hewani. Hii inaonekana kwa macho matupu kama mstari wa moto angani. Kama kimondo ni kikubwa zaidi ni sehemu zake za nje tu zinazochomwa na kiini kinagonga uso wa dunia. Kati ya vimondo kumi vikubwa kabisa duniani ambavyo mabaki yake yanaonekana, kimojawapo ni Kimondo cha Mbozi nchini Tanzania. ►Soma zaidi Picha nzuri ya wiki Ziara ya Mwalimu Nyerere wa Tanzania mnamo Machi 12, 1985; Rais Nyerere akisikiliza maswali. Julius Nyerere (Butiama, 13 Aprili 1922 - London, 14 Oktoba 1999) alikuwa Rais wa kwanza wa Tanzania na Baba wa Taifa. Aliongoza Tanganyika tangu uhuru mwaka 1961 kama Waziri Mkuu, kisha baada ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar mwaka 1964, aliongoza Tanzania kama Rais hadi 1985. Aliunda sera ya Ujamaa na Kujitegemea ambayo iliweka msisitizo kwenye usawa wa kijamii, elimu kwa wote na umoja wa kitaifa. Baada ya kustaafu urais, aliendelea kuishi kwa kuendeleza shughuli za kijamii na kilimo, na alifariki dunia kutokana na saratani ya damu tarehe 14 Oktoba 1999 akiwa London, na kuzikwa Butiama. Je ungependa kusoma zaidi kuhusu Mtu huyu? au ungependa kuchangia zaidi kuhusu mtu huyu? fungua Hapa Takwimu ya Wikipedia ya Kiswahili Idadi ya makala: 123,669 Idadi ya kurasa zote: 234,007 (pamoja na kurasa za watumiaji, majadiliano, msaada n.k.) Idadi ya hariri: 1,585,345 Idadi ya watumiaji waliojiandikisha: 90,445 Idadi ya wakabidhi: 14 Idadi ya watumiaji hai: 235 (Watumiaji waliojiandikisha na kuchangia katika muda wa siku 30 zilizopita) Bofya hapa kwa kupata namba za sasa Takwimu ya WIkipedia ya Kiswahili kwa jumla Katika mwezi wa Agosti 2025 wikipedia ya Kiswahili iliangaliwa mara milioni 7.79 hivi, ambayo ni sawa na mara 251,607 kwa siku au mara 10,483 kila saa ambalo ni ongezeko la mara 4.5 ukilinganisha na mwaka 2024 mwezi wa Agosti. Asilimia 52 za wasomaji wetu wako Tanzania, asilimia 13 wako Kenya, asilimia 18 wako Marekani na mnamo asilimia 10 wako Ulaya. Angalia idadi ya wasomaji kwa makala mbalimbali hapa kwenye takwimu za makala (fungua anwani kwa browser yako, ondoa majina yaliyopo na ingiza jina la makala (hadi makala 10) unayopenda. Unaweza kubadilisha kipindi cha taarifa utakachoona; takwimu kabla ya 2015 hapa) na makala 100 zilizotazamiwa zaidi "Topviews" kwa kipindi fulani. (unachagua kati ya makala 100 kwa mwezi au kwa siku) Michango ya wanawiki: angalia hapa michango ya mtumiaji kwenye kila mradi wa Wikimedia (andika jina la mtumiaji kwenye sanduku) Jumuia za Wikimedia Kamusi elezo ya Wiki ni kamusi elezo huru iliyo chini ya Shirika Lisilo la Kiserikali la Wikimedia Foundation, ambalo linasimamia miradi mingine mbalimbali ambayo imeorodheshwa hapo chini. Mpaka sasa miradi inayopatikana Kiswahili ni Wikipedia na Wikamusi. Wikitabu imewekwa Kiswahili lakini bado ni tupu. Mengine inapatikana Kiingereza pamoja na lugha tofauti. </span>"}'> Commons Ghala ya Nyaraka za Picha na Sauti </span>"}'> Meta-Wiki Uratibu wa Miradi yote ya Wikimedia Wikamusi Kamusi na Tesauri Wikitabu Vitabu vya bure na Miongozo ya Kufundishia Wikidondoo Mkusanyiko wa Nukuu Huria Wikichanzo (Wikisource) Matini za vyanzo asilia kwa Kiswahili </span>"}'> Wikispishi Kamusi ya Spishi Wikichuo Jumuia ya elimu Wikihabari Habari Huru na Bure Wikipedia kwa lugha nyingine Wikipedia kwa lugha nyingine Wikipedia ipo katika lugha zaidi ya 340. Bofya hapa kuona orodha kamili ya lugha zote za Wikipedia. Baadhi ya lugha zenye makala zaidi ya 1,000,000: Kiarabu cha Misri - Deutsch (Kijerumani) - English (Kiingereza) - Español (Kihispania) - Français (Kifaransa) - Italiano (Kiitalia) - 日本語 (Kijapani) - Nederlands (Kiholanzi) - Polski (Kipolishi) - Português (Kireno) - Русский (Kirusi) - Svenska (Kiswidi) - Українська (Kiukraina) - Tiếng Việt (Kivietinamu) - 中文 (Kichina) Baadhi ya lugha zenye makala zaidi ya 500,000: Català (Kikatalunya) - Česky (Kicheki) - Bahasa Indonesia (Kiindonesia) - Suomi (Kifini) - Magyar (Kihungaria) - Norsk bokmål (Kinorway) - Română (Kiromania) - Türkçe (Kituruki) - Baadhi ya lugha zenye makala zaidi ya 250,000: Dansk (Kidenmark) - Esperanto (Kiesperanto) - Slovenčina (Kislovakia) - Baadhi ya lugha zenye makala zaidi ya 100,000: Afrikaans (Kiafrikana) · Malagasy (Kimalagasi) - Swahili (Kiswahili) - Baadhi ya lugha nyingine za Afrika: አማርኛ · Bamanankan · Chi-Chewa · chiShona · chiTumbuka · Ɛʋɛ · Fulfude · Gĩkũyũ · Hausa · Ìgbo · isiXhosa · isiZulu · Taqbaylit · Kikongo · Kinyarwanda · Kirundi · Lingala · Luganda · Oromoo · Oshiwambo · Sängö · seSotho · Setswana · SiSwati · Soomaaliga · ትግርኛ · Tshivenda · Twi · Wolof · Xitsonga · Yorùbá · Jinsi ya kuanzisha Wikipedia kwa lugha mpya Rudishwa kutoka "https://sw.wikipedia.org/w/index.php?title=Mwanzo&oldid=1456367" Jamii: Makala ya wiki Lugha 349 Аԥсшәа Acèh Адыгабзэ Afrikaans Alemannisch Алтай тил አማርኛ Pangcah Aragonés Ænglisc Obolo अंगिका العربية ܐܪܡܝܐ الدارجة مصرى অসমীয়া Asturianu Atikamekw Авар Kotava अवधी Aymar aru Azərbaycanca تۆرکجه Башҡортса Basa Bali Boarisch Žemaitėška Batak Toba Bikol Central Bajau Sama Беларуская (тарашкевіца) Беларуская Betawi Български भोजपुरी Bislama Banjar ပအိုဝ်ႏဘာႏသာႏ Bamanankan বাংলা བོད་ཡིག Bòo pìkkà বিষ্ণুপ্রিয়া মণিপুরী Brezhoneg Bosanski Batak Mandailing Basa Ugi Буряад Català Chavacano de Zamboanga 閩東語 / Mìng-dĕ̤ng-ngṳ̄ Нохчийн Cebuano Chamoru ᏣᎳᎩ Tsetsêhestâhese کوردی Corsu Nēhiyawēwin / ᓀᐦᐃᔭᐍᐏᐣ Qırımtatarca Čeština Kaszëbsczi Словѣньскъ / ⰔⰎⰑⰂⰡⰐⰠⰔⰍⰟ Чӑвашла Cymraeg Dansk Dagbanli Deutsch Dagaare Thuɔŋjäŋ Zazaki Dolnoserbski Kadazandusun डोटेली ދިވެހިބަސް ཇོང་ཁ Eʋegbe Ελληνικά Emiliàn e rumagnòl English Esperanto Español Eesti Euskara Estremeñu فارسی Mfantse Fulfulde Suomi Võro Na Vosa Vakaviti Føroyskt Fɔ̀ngbè Français Arpetan Nordfriisk Furlan Frysk Gaeilge Gagauz 贛語 Kriyòl gwiyannen Gàidhlig Galego گیلکی Avañe'ẽ गोंयची कोंकणी / Gõychi Konknni Bahasa Hulontalo 𐌲𐌿𐍄𐌹𐍃𐌺 Ghanaian Pidgin ગુજરાતી Wayuunaiki Farefare Gungbe Gaelg Hausa 客家語 / Hak-kâ-ngî Hawaiʻi עברית हिन्दी Fiji Hindi Hrvatski Hornjoserbsce Kreyòl ayisyen M…